Beki wa timu ya taifa ya Uholanzi Virgil van Dijk, 28, ameshangazwa na maneno kuwa atapewa ofa ya mpya ya mkataba wa malipo ya pauni na 200,000 kwa wiki na klabu yake ya Liverpool.
Serikali ya Uganda imeaandaa maonyesho ya picha kuhusu raisi wa zamani Field Marshal Idi Amin Dada ambaye anadhaniwa kuwa ni mmoja wa madikteta hatari duniani. Hata ivyo maonyesho haya yanalenga kuonesha taswira tofauti na kuangazia mazuri aliyoyafanya. Je ni nini mtazamo wako kuusu hatua hii iliyochukuliwa na Serikali ya Uganda? Toa maoni yako Kuhusu hilii
Wapenzi kutoka Ufaransa wamekamatwa na kilo 40 za mchanga wa Sardinian katika gari lao na wanaweza kukabiliana na kifungo cha miaka 6 jela. Walisema kuwa walitaka kuondoka na mchanga nyumbani kwao na hawakujua kama wamefanya makosa. Ni kosa la jinai kwa mtu kuhamisha mchanga kutoka katika kisiwa cha Sardinia, kwa sababu mchanga unatambulika kama mali ya umma. Kwa miaka mingi, wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakilalamikia wizi wa mali asili ikiwa ni pamoja na mchanga. Wapenzi hao wanaweza kuhukumiwa kati ya mwaka mmoja jela mpaka miaka sita kwa kosa la wizi wa mali ya umma. Chini ya sheria ya mwaka 2017, biashara ya mchanga na mapambo ya bahari ni kunyume cha sheria, na faini ya yuro 3000. Polisi walikuta mchanga umewekwa kwenye chupa 14 ambazo zilitoka katika ufukwe wa Chia , kusini mwa Sardinia katika buti ya gari la wapenzi hao. Mwaka 1994, ufukwe uliopo kisiwa cha Budeli kaskazini mashariki mwa Sardinia uliwekewa zuio kwa ajili ya siku siku za mbeleni. Mamlaka ina hofu ya tani kadhaa z...
WANACHAMA wa Yanga wamemuangukia mwenyekiti wao aliyejiuzulu Yusuf Manji baada ya kukataa ombi la kuachia ngazi la kiongozi huyo. Wanachama wa klabu hiyo kutoka matawi 65 ya mkoa wa Dar es Salaam walikutana jana na kumtaka makamu mwenyekiti wao, Clement Sanga kuhitisha haraka kmkutano wa dharura. Kikao hicho kiliongozwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwasa, ambapo kwa pamoja waliazimia kukataa ombi la kujiuzulu kwa Manji. “Wanachama hawataki Manji akae pembeni, wanataka mkutano wa dharura uitishwe siku 14 toka leo kwa mujibu wa katiba, kamati ya utendaji inakaa leo ( Jana) mchana itapitia maombi ya wanachama na kutoa maamuzi.” alisema Mkwasa. Naye Makamu Mwenyekiti wa matawi Bakili Makele alisema kuwa baada ya kutafakari barua ya Manji, ambayo inaeleza moja ya sababu ya kujiuzulu ni kutokana na afya yake, lakini wao wanasema bado wanamuhitaji. Naye Mwenyekiti wa Keko Ukombozi Joseph Kalindwa akizungumzia hilo alisema “ Manji alitukuta kipindi kigumu mno tukiwa tu...
Maoni
Chapisha Maoni