Uganda ya andaa maonyesho ya picha ya Raisi wa zamani ya Field Marshal Idi Amin Dada

Serikali ya Uganda imeaandaa maonyesho ya picha kuhusu raisi wa zamani Field Marshal Idi Amin Dada ambaye anadhaniwa kuwa ni mmoja wa madikteta hatari duniani.
Hata ivyo maonyesho haya yanalenga kuonesha taswira tofauti na kuangazia mazuri aliyoyafanya.
Je ni nini mtazamo wako kuusu hatua hii iliyochukuliwa na Serikali ya Uganda?
Toa maoni yako Kuhusu hilii

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Tetesi za soka Barani Ulaya:

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?