Uganda ya andaa maonyesho ya picha ya Raisi wa zamani ya Field Marshal Idi Amin Dada

Serikali ya Uganda imeaandaa maonyesho ya picha kuhusu raisi wa zamani Field Marshal Idi Amin Dada ambaye anadhaniwa kuwa ni mmoja wa madikteta hatari duniani.
Hata ivyo maonyesho haya yanalenga kuonesha taswira tofauti na kuangazia mazuri aliyoyafanya.
Je ni nini mtazamo wako kuusu hatua hii iliyochukuliwa na Serikali ya Uganda?
Toa maoni yako Kuhusu hilii

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?