Ajali yasababisha vifo vya watu watano Morogoro:
Watu watano wamefariki na wengine 26 wamejeruhiwa baada ya basi la abiria la Safari njema kugongana uso kwa uso na lori aina ya tata mali ya kiwanda cha Tumbaku cha Alliance One katika eneo la Nanenane manispaa ya Morogoro.
Maoni
Chapisha Maoni