Ajali yasababisha vifo vya watu watano Morogoro:

Watu watano wamefariki na wengine 26 wamejeruhiwa baada ya basi la abiria la Safari njema kugongana uso kwa uso na lori aina ya tata mali ya kiwanda cha Tumbaku cha Alliance One katika eneo la Nanenane manispaa ya Morogoro.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa saba usiku ambapo majeruhi 26 akiwemo mtoto mdogo wameshakimbizwa katika hospitali ya rufaa ya Manispaa ya Morogoro na wanaendelea na matibabu.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?