Majaliwa amsimamisha mhandisi Morogoro, ampa maagizo RC:

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kasimu Majaliwa leo Jumatano anakamilisha ziara ya siku tano mkoani Morogoro. Tangu alipoanza hadi leo amekwisha kuwasimamisha watumishi 15 wa Halmashauri ya Kilombero, Mji Ifaraka na Ulanga pamoja na Mhandisi wa Ujenzi wa wilaya ya Morogoro.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?