Kumbukumbu kifo cha hayaki Lucky Philip Dude 2007

Siku kama ya leo 2007 ni Kumbukumbu kwa hayati Lucky Philip Dude aliyepigwa risasi hadi kufa na wezi Wa magari Sifiso Mhlanga,Julio Shilindza na Mbuti Mabe.

Toa Hisia kwa nyimbo zake zilizosifika kwa kuandika na kushare kwenye comments na watu wote Duniani wanaotumia siku hii ya Leo kumkumbuka Mfalme Wa Reggae Afrika.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?

Ubalozi wa Marekani: Hatutasita kuwachukulia hatua watakaovuruga au kukwaza demokrasia Tanzania