Waziri mkuu Giuseppe Conte: Italy Carantini Hadi May 3 (COVID19 virus)

Waziri Mkuu wa Italia Giuseppe Conte ametangaza kuongeza muda wa nchi hiyo kuwa kwenye karantini kwa sababu ya coronavirus hadi May 3, "Matumaini yetu ni kwamba baada ya May 3 tunaweza kuanza upya. Lakini hii itategemea zaidi juhudi tuzifanyazo."

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?