Askofu Dkt. Getrude Rwakatare: Alazwe mahali pema peponi amina

TANZAN
IA  Askofu Dkt. Getrude Rwakatare (69) wa Kanisa la Mlima wa Moto amefariki dunia leo asubuhi Aprili 20, 2020. Rwakatare alikuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?