Askofu Dkt. Getrude Rwakatare: Alazwe mahali pema peponi amina

TANZAN
IA  Askofu Dkt. Getrude Rwakatare (69) wa Kanisa la Mlima wa Moto amefariki dunia leo asubuhi Aprili 20, 2020. Rwakatare alikuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?

Ubalozi wa Marekani: Hatutasita kuwachukulia hatua watakaovuruga au kukwaza demokrasia Tanzania