Kim Jong Un: naweka ulinzi mkali kwa wananchi wangu

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameendesha kikao cha kuweka mikakati zaidi ya kuwaweka Raia wake salama dhidi ya janga la corona huku akisisitiza kuwa bado Nchi yake haina hata kisa kimoja cha corona hadi sasa. “hatuna corona ila zaidi ya Watu 500 tumewaweka karantini”

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?