Mlinda mlango Hifadhi ya wa Bronx Zoo nchini Marekani amuambukiza Chui virusi ya COVID19.

Marekani: Chui wa kike huko Bronx Zoo ya New York ambaye amepimwa virusi vya COVID19, anesemekana kuambukizwa virusi kutoka kwa mlinda hifadhi iyo ya Bronx Zoo;  pia chui watatu na simba watatu wa Kiafrika wanaonyesha dalili za maabukizi ya COVID19.   Hong Kong imeripoti paka mmoja aliyeambukizwa virusi kutoka kwa mmiliki wake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?