Mlinda mlango Hifadhi ya wa Bronx Zoo nchini Marekani amuambukiza Chui virusi ya COVID19.

Marekani: Chui wa kike huko Bronx Zoo ya New York ambaye amepimwa virusi vya COVID19, anesemekana kuambukizwa virusi kutoka kwa mlinda hifadhi iyo ya Bronx Zoo;  pia chui watatu na simba watatu wa Kiafrika wanaonyesha dalili za maabukizi ya COVID19.   Hong Kong imeripoti paka mmoja aliyeambukizwa virusi kutoka kwa mmiliki wake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Tetesi za soka Barani Ulaya:

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?