Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) lakanusha KIFO Cha Gloria Michael.
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)
limekanusha habari zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mwandishi wa Habari za biashara wa TBC, Gloria Michael amefariki dunia. TBC imesema habari hizo si za kweli, na kuwa umma uzipuuze.
Maoni
Chapisha Maoni