Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) lakanusha KIFO Cha Gloria Michael.

Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)
limekanusha habari zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mwandishi wa Habari za biashara wa TBC, Gloria Michael amefariki dunia. TBC imesema habari hizo si za kweli, na kuwa umma uzipuuze.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?