CORONA VIRUS TURKEY: Waziri wa mambo ya ndani ajiuzulu,Rais amkatalia
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Rais Erdogan amelikataa ombi la Waziri Suleyman Soylu, saa 11 baada ya kutangazwa zuio la watu kutoka ndani kwa saa 48 lililoibua vurugu na takriban watu 250,000 kuvamia migahawa na maduka ya vyakula
Maoni
Chapisha Maoni