UGANDA: Dereva mtanzania athibitika kuwa na COVID-19

> Wizara ya Afya ilipima sampuli 1,120 ambapo sampuli ya dereva wa gari la mizigo kutoka Dar ambaye hakuonesha dalili zozote, ilikutwa na COVID19

> Wizara inamfuatilia dereva huyo ambaye aliingia nchini humo kupitia mpaka wa Mutukula ili kumrudisha Tanzania

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Tetesi za soka Barani Ulaya:

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?