UGANDA: Dereva mtanzania athibitika kuwa na COVID-19

> Wizara ya Afya ilipima sampuli 1,120 ambapo sampuli ya dereva wa gari la mizigo kutoka Dar ambaye hakuonesha dalili zozote, ilikutwa na COVID19

> Wizara inamfuatilia dereva huyo ambaye aliingia nchini humo kupitia mpaka wa Mutukula ili kumrudisha Tanzania

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?