UGANDA: Dereva mtanzania athibitika kuwa na COVID-19

> Wizara ya Afya ilipima sampuli 1,120 ambapo sampuli ya dereva wa gari la mizigo kutoka Dar ambaye hakuonesha dalili zozote, ilikutwa na COVID19

> Wizara inamfuatilia dereva huyo ambaye aliingia nchini humo kupitia mpaka wa Mutukula ili kumrudisha Tanzania

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maandamano Kenya: 'Msiwaue, wapigeni risasi mguuni' Ruto awaambia polisi

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Ubalozi wa Marekani: Hatutasita kuwachukulia hatua watakaovuruga au kukwaza demokrasia Tanzania