> Wizara ya Afya ilipima sampuli 1,120 ambapo sampuli ya dereva wa gari la mizigo kutoka Dar ambaye hakuonesha dalili zozote, ilikutwa na COVID19
> Wizara inamfuatilia dereva huyo ambaye aliingia nchini humo kupitia mpaka wa Mutukula ili kumrudisha Tanzania
Maoni
Chapisha Maoni