Uingereza: Nesi mjamzito afariki kwa #covid19 mtoto aokolewa
Mary Agyapong (28) nesi aliyekuwa mjamzito, amefariki huku mwanae aokolewa. Japo mtoto bado hajapimwa kuthibitisha kama ana #Covid19 au la
Kutokana na hali mbaya ya afya yake alilazimika kufanyiwa upasuaji ili kumuokoa mtoto kwa kuwa hali ya Mary ilikuwa inazidi kuwa mbaya
Mary alikutwa na #Covid19 Aprili 5, na alianza kupata huduma hospitali Aprili 7, na amefariki Aprili 12. Wafanyakazi wenzake wamesema Mary ni nesi mzuri na ni kielelezo cha wanachosimamia
Kutokana na hali mbaya ya afya yake alilazimika kufanyiwa upasuaji ili kumuokoa mtoto kwa kuwa hali ya Mary ilikuwa inazidi kuwa mbaya
Mary alikutwa na #Covid19 Aprili 5, na alianza kupata huduma hospitali Aprili 7, na amefariki Aprili 12. Wafanyakazi wenzake wamesema Mary ni nesi mzuri na ni kielelezo cha wanachosimamia
Maoni
Chapisha Maoni