Aacha kazi ya benki kuwa mpishi

Pamela Oduor ni muanzilishi wa kundi la Lets Cook nchini Kenya ambalo linaangazia mapishi ya jamii tofauti.

Alianza kundi hilo miaka mitatu iliyopita baada ya kuamua kuacha kazi ya benki ili kuangazia kitu anachopenda, upishi.

Bi Pamela alikua miongoni mwa majina 100 ya watu walio na mashabiki wengi katika mtandao wa kijamii wa Facebook mwaka jana.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?