Mwanamziki Lil Wayne asema ana asili ya Nigeria, je unakubalina naye?

Rapa - Lil Wayne - amewafurahisha raia wa Nigeria sana baada ya kutangaza kuwa amebaini rasmi kuwa ana uasilia 53 wa Nigeria .

Mwenyekiti wa kamisheni ya Wanigeria wanaoishi ng’ambo bwana Abike Dabiri hata amemuita Lil Wayne ndugu yake na kusema kuwa anahamu ya kumkaribisha Nigeria.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?