Rais Magufuli ampongeza Ummy Mwalimu

Rais Magufuli: Kwa namna ya pekee nampongeza sana mwanamama jasiri, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwa uvumilivu wake

- Nataka kusema kwa dhati nilimtesa sana, nilikuwa nampigia simu mara nyingi muda mwingine saa 8 usiku

- Naomba aniombee msamaha sana kwa Mume wake

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?