Rais Magufuli ampongeza Ummy Mwalimu

Rais Magufuli: Kwa namna ya pekee nampongeza sana mwanamama jasiri, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwa uvumilivu wake

- Nataka kusema kwa dhati nilimtesa sana, nilikuwa nampigia simu mara nyingi muda mwingine saa 8 usiku

- Naomba aniombee msamaha sana kwa Mume wake

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kwanini Somaliland ina matumaini na ujio wa Trump?

Tetesi za soka Barani Ulaya:

Rwanda bila misaada: Je, inaweza kujitegemea?