Kifo cha Floyd: Wamarekani weusi wasema 'hawako salama'
Maelfu ya watu wameendelea na maandamano katika maeneo mbalimbali nchini Marekani baada ya kifo cha George Floyd.
Mwanaume huyo, 46, ambaye hakuwa amejihami, alifariki mjini Minneapolis baada ya polisi wenye asili ya weupe kutumia mguu wake kumkandamiza Floyd na kumuua.
Maoni
Chapisha Maoni