Familia ya Marealle wapelekana kortini mazishi ya mama yao

Mfanyabiashara anayemiliki vitega uchumi mbalimbali ndani na nje ya mkoa Kilimanjaro, Frank Marealle amefungua shauri mahakamani akipinga bibi wa miaka 105 kuzikwa eneo analodai ni lake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?