Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 06.04.2022: Pogba, Mbappe, Bale, Nunez, Carvalho, Foden, Antony, Laimer

m

Paris St-Germain wametoa ofa kwa kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 29, wakati anaingia miezi ya mwisho ya kandarasi yake Manchester United - lakini klabu hiyo ya Ligue 1 imetoa pesa kidogo kuliko United. (MEN) 

Mshambulizi wa Tottenham na Uingereza Harry Kane, 28, atakuwa na hamu ya kutaka kusikiliza ofa yoyote kutoka kwa Manchester United msimu huu wa joto kabla ya kufanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wa muda mrefu. . (The Athletic - subscription required) 

Crystal Palace itasikiliza ofa kwa mshambuliaji wa Ivory Coast Wilfried Zaha, 29(Mail) 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Umoja wa Ulaya hatimaye wakubaliana kuufufua uchumi wao

Urusi kuisadia Uganda kujenga uwezo wake wa nyuklia, ni mataifa gani ya Afrika yanatumia nishati ya nyuklia na kwanini?